Hiki ni kikosi kidogo tu cha wanamapinduzi wa Tanzania.
Kutumia nyenzo uliyonayo kuunga mkono mapambano dhidi ya unyang'anyi wa mafisadi, ndio jadi ya wanaharakati, vijana hawa walitumia pikipiki zao kufanya maandamano ya wanaharakati mwanza, kupinga ongezeko la gharama za maisha.
No comments:
Post a Comment