![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhv17eThS8vcv986zLXLXEFYiNVlVbFNw8kO8OZ00VzccvjukgbsnkLZclClO9t5LVVQD76SxmZ3sbXAN7TQmV9vxLnImTyzUb-t2WeMjYbwxlb2WbTZgUPJjT1ycb1C5RHqVAh5nqkxSE/s320/Picturshy+224.jpg)
Kashinje Masanja, Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la solwa wilaya ya Shinyanga vijijini akijadili jambo na Mbunge wa shinyanga mjini ambaye hakuapishwa mheshimiwa {Shelembi Magadula} , madiwani , mheshimiwa mashishanga (mrefu nyuma) ambaye ni mbunge wa viti maalumu chadema mkoa wa shinyanga kabla ya kuanza kwa maandamano ya amani kupinga ufisadi mkoani shinyanga
No comments:
Post a Comment