Ukiwa kijana unatakiwa ubebe jukumu la kuikomboa jamii yako kwa kutumia Nguvu, Uelewa na Elimu uliyoipata. Haina maana kuitwa msomi unayekula na kulala vizuri mijini wakati jamii unayotoka wanalala kwenye ngozi na kula mlo mmoja wa mashaka, Tumia elimu yako ufanye mapinduzi katika jamii yako.
Thursday, March 10, 2011
mfano wa nguvu ya umma
Kashinje Masanja, Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la solwa wilaya ya Shinyanga vijijini akijadili jambo na Mbunge wa shinyanga mjini ambaye hakuapishwa mheshimiwa {Shelembi Magadula} , madiwani , mheshimiwa mashishanga (mrefu nyuma) ambaye ni mbunge wa viti maalumu chadema mkoa wa shinyanga kabla ya kuanza kwa maandamano ya amani kupinga ufisadi mkoani shinyanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment