Thursday, March 10, 2011

mfano wa nguvu ya umma


Kashinje Masanja,  Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la solwa wilaya ya Shinyanga vijijini akijadili jambo na Mbunge wa shinyanga mjini ambaye hakuapishwa mheshimiwa {Shelembi Magadula} ,  madiwani , mheshimiwa mashishanga (mrefu nyuma) ambaye ni mbunge wa viti maalumu  chadema mkoa wa shinyanga kabla ya kuanza kwa maandamano ya amani kupinga ufisadi mkoani shinyanga

No comments: