Sunday, March 13, 2011

SERIKALI YA TANZANIA UOZO TUPU

Tabaka la watawala Tanzania ni sawasawa na Gaddafi kwa sababu zifuatazo:

1. Wote wanaimani potofu kuwa serikali yao inapendwa sana na wananchi
2. Wote wanaamini kuwa maandamano yanachochewa na serikali/taasisi/wafadhili wa nje
3. Wote wanaamini kuwa wananchi wanapewa kitu ili kushiriki maandamano, eg pesa/madawa ya kulevya
4. Wote wanaamini kuwa wananchi hawana shida yoyote (eg Sophia akisema "kama kuna matatizo."
5. Wote wametawala kwa muda mrefu sana (CCM miaka 50 na Gadaffi miaka 42)
6. Wananchi wa nchi zote wamechoka umasikini, ufisadi, manyanyaso, ukosefu wa ajira, uporaji wa pesa za umma, etc
7. Chama tawala Tanzania/Libya miaka yote kimekuwa kikishinda uchaguzi wa Urais na wabunge kwa kuiba kura
8. Need I say more?

No comments: