Tuesday, March 22, 2011

Mbunge mtarajiwa wa Solwa wa Kwanza kulia ndugu Kashinje Masanja,mbunge mtarajiwa wa serengeti  daktari Grayson  Nyakarungu aliyeshika taa pamoja na Mhasibu wa Sido Tawi Mwanza ambaye pia ni mbunge mtarajiwa wa jimbo la Misungwi wote kupitia CHADEMa wakiwa tayari kwa maandamano ya amani jijini mwanza wakiwa wamewasha taa kuuelezea umma kuwa umeme Tanzania ni tatizo pamoja na wapenzi wengine wa mageuzi nchini

1 comment:

Dr Mark Msaki said...

hongera sana wanablog wa blog hii. taa lazima ziwashwe mchana! Dr Nyakarungu mbunge mtarajiwa, je aliishi kibaha?